.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, November 27, 2011

Mahafali ya Pili Chuo Kikuu cha Dodoma yafana

Bi Amina Ikaji, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma katika  shahada ya Uongozi na Rasilimali-Watu kwenye mahafali ya pili ya Chuo hicho jana.

 Bi Neema Mbogoni akiwa na rafiki yake Bi Amina Ikaji (kulia)
wakipongezana kwa hatua waliyofikia ya kuhitimu shahada
ya kwanza jana kwenye Chuo Kikuu cha Ddodoma.

   Wadau wakipongezana na kutakiana kheri katika maisha jana

 Hongera sana mwanetu! Ndivyo wanavyoonekana wakisema  ndugu, jamaa na marafiki wa Amina.

 Taswira ya Chuo Kikuu cha Dodoma wakati wa Mahafali jana


Picha zote ni za muonekano wa furaha katika tukio  hilo