.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, October 4, 2011

Victor B. Minja and Edna Y. Bakari are no longer two...they are one


 Ndafu ikawekwa  kati
Bwana Victor  Balthazar Mashindano Minja na  Bi. Edna  Yusufu Bakari wote wa Arusha siku ya tarehe 1 Oktoba 2011 walikata shauri na kuamua kuishi maisha ya mume na mke.  Bw. Victor ni Msanifu Majengo wa Wakala wa Majengo Tanzania  na Bi. Edna ni mfanyakazi mkoani Arusha.  Shughuli nzima ilifanyika nyumbani kwa  Profesa Balthazar Mashindano Minja (bingwa wa Pua, Koo na Masikio kidhungu ENT), Boko-Ununio Beach. Baada ya ibada takatifu ya misa kanisani, mambo yakawa hivi:

 Victor na Edna wakaanza kufanya kweli

 Nilishe nikulishe wangu

Wazazi tulieni mlishwe - Profesa BM Minja akilishwa ndafu


 Ndipo ikaanza safari ya kuelekea kwa wakwe

Mambo ya picha yakafuata ...mapozi si mapozi


Mama Victor akilishwa ndafu

Karibuni ndafu wageni waalikwa



Mandhari ya ukumbi na pamba za wadau

Vikundi mbalimbali vikipiga picha na maharusi




Wadau wakibadilishana mawazo




Kamati iliyoongoza shughuli

Mama Victor akitoa neno la shukrani

Ndipo ngoma ikaanza

Watoto hawakuachwa nyuma