.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, August 24, 2011

Spika Makinda aongoza maelfu kumzika Mhe. Silima

Marehemu Mussa Khamis Silima Wakati wa uhai wake

Spika wa Bunge Mhe Anne Makinda akiwasili nyumbani kwa marehemu leo

Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe Dkt. Ali Mohammed Shein (katikati wenye kanzu), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Dkt Mohammed Ghalib Bilal (kulia) na Makamu wa Kwanza wa rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni miongoni mwa viongozi wakuu waliohudhiria mazishi hayo 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Dkt Mohammed Ghalib Bilali ajadili jambo na Kamishna wa Bunge Mhe Abdulkadir Shah kabla ya mazishi

Ibada ya mazishi ikiendelea

Spika Makinda akiwa miongoni mwa waombolezaji

Rais wa Serikali ya Mapinduzi akitia udongo kaburini

Kamishna wa Bunge akitia udongo kaburini

Baadhi ya wabunge waliotoka Dodoma kuhudhuria mazishi

Wawakilishi wa Chama cha waandishi wa Habari za Bunge

Ndugu wa marehemu wakiwa kaburini baada ya mazishi