.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, August 23, 2011

Spika Makinda akiongoza mamia ya waombolezaji kwenye msiba wa Bi Mwanaheri Hemed, mke wa mbunge wa Bazara wa Wawakilishi Zanzibar Mh. Mussa Khamisi Silima ambaye naye pia alifariki siku iliyofuata. Wote wawili walipata ajali tarehe 21 Agosti 2011 eneo Nzuguni Dodoma.