.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, July 3, 2011

Tusiharakishe soko la pamoja Afrika Mashariki-Tanzania

Spika wa Tanzania akifunga rasmi mkutano wa kumi wa Bunge la Afrika Mshariki. Pamoja na mambo mengine wadau wa mkutano huo wamekubali kutoharakisha shirikisho la Afrika Mashariki.

Katibu Mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt Richard Sezibera na Balozi wa Kenya Tanzania Mhe. Mutiso wakifuatilia kwa makini hotuba hiyo


Maspika watatu wanawake wa Afrika Mashariki: kutoka kushoto ni Mhe. Rose Mukantabana (Rwanda), Mhe Anne Makinda (Tanzania) na Mhe. Rebecca A. Kadaga (Uganda)

Kutoka kushoto: Spika wa Bunge la Uganda Mhe. Rebecca Alitwala Kadaga, Spika wa Bunge la Burundi Mhe. Jean Minani, Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe Abdirahin Abdi, Spika wa Tanzania  Mhe. Anne Makinda, Spika wa Bunge la Rwanda Mhe. Rose Mukantabana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Afrika Mshariki Dkt. richard Sezibera.

Spika makinda akishauriana jambo na mbunge wa Afrika Mashariki Mhe. Amani Kabourou

Wadau wakifuatilia hotuba ya Spika Makinda

Spika wa Bunge la Afrika Mshariki Mhe. Abdirahin Abdi akimkabidhi Spika wa Tanzania Mhe. Anne Makinda Cheti cha kutabumbua mchango wake tangu kuundwa kwa Jumuiya hiyo

Mhe Beatrice Shelukindo akiwa kwenye mkutano huo

Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya SADC akifurahia zawadi ya Saa yenye picha ya jengo la Bunge la Tanzania

Picha ya pamoja