| Mpambe wa Bunge akiwaingiza Bungeni wanafunzi 20 kutoka shule mabalimbali za Tanzania waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi. Ni wasichana kumi na wavulana kumi |
| Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akiwakaribisha rasmi Bungeni wanafunzi hao baada ya Kanuni ya 150 kifungu 2 kutenguliwa |
| Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Shukuru Kawambwa akitoa salamu za pongezi kwa wanafunzi hao, waalimu pamoja na wazazi wao. |
| Sekondari za Kata zaanza kuzaa matunda. Wahitimu saba waliofanya vizuri kidato cha sita wakitokea katika shule za sekondari za kata kwa kidato cha nne |
| Wakisubiri kwa shahuku kubwa kuingia katika ukumbi wa Bunge |
| Hivi huko ndani kukoje ....? |