| MC wa shughuli siku ya tarehe 2/7/2011 ndani ya viwanja vya Bunge |
| Itifaki ilisimama kidete |
| Mwenyekiti Kamati ya Starehe Mhe. Jenista Mhagama akiwakaribisha rasmi wageni |
| Wadau katika mkao wa kupata |
| Wadau wakisubiri sebene |
| "In vino veritas" yaelekea ndivyo mdau anasema |
| Miss Tourism na timu yake hawakuwa nyuma kwa hili |
| Mzee Sitta akikonga nyoyo za wadau |
| Spika Makinda, Kaimu Waziri Mkuu wakimsikiliza mwakilishi wa TDL |
| Hongereni sana kwa kuitangaza nchi yetu |
| Karibuni sana Dodoma, karibuni sana Bungeni |
| Picha ya pamoja na wakulima wa zabibu ambao ni wazazi wa watoto ambao wameshaanza kuula kimasomo |
| Wadau walipoz wakati wa shughuli |
| Mduara ulipoanzahakuwepo wa kutegea |
| Shughuli ni watu |
| Ndipo ukatimia wakati wa watu kuzawadiwa |
| Mhe. Ngeleja -Capten wa timu ya Bunge |
| Wafanyakazi Ofisi ya Bunge hawakuachwa nyuma |
| Twanga Pepeta walipojirusha tu uwanjan i........... |
| ....... hakuna aliyehitaji Taarifa |
| ...... wala mwongozo wa Spika |