.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, July 4, 2011

Tanzania Distilaries Ltd yaamua kumtoa mtoto wa mkulima wa zabibu kielimu

MC wa shughuli siku ya tarehe 2/7/2011 ndani ya viwanja vya Bunge

Itifaki ilisimama kidete


Mgeni rasmi wa shughuli Kaimu Waziri Mkuu, Mhe Samuel Sitta Mb, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kati) akiteta jambo na Kaimu Kiongozi wa Upinzania Bungeni Mhe Tundu Lisu Mb.  Kushoto ni mwenyeji wa shughuli Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda Mb

Mwenyekiti Kamati ya Starehe Mhe. Jenista Mhagama akiwakaribisha rasmi wageni

Wadau katika mkao wa kupata

Wadau wakisubiri sebene

"In vino veritas" yaelekea ndivyo mdau anasema

Miss Tourism na timu yake hawakuwa nyuma kwa hili

Mzee Sitta akikonga nyoyo za wadau

Spika Makinda, Kaimu Waziri Mkuu wakimsikiliza mwakilishi wa TDL

Hongereni sana kwa kuitangaza nchi yetu

Karibuni sana Dodoma, karibuni sana Bungeni

Picha ya pamoja na wakulima wa zabibu ambao ni wazazi wa watoto ambao wameshaanza kuula kimasomo


Wadau walipoz wakati wa shughuli

Mduara ulipoanzahakuwepo wa kutegea

Shughuli ni watu



Ndipo ukatimia wakati wa watu kuzawadiwa


Mhe. Ngeleja -Capten wa timu ya Bunge


Wafanyakazi Ofisi ya Bunge hawakuachwa nyuma

Twanga Pepeta walipojirusha  tu uwanjan i...........

....... hakuna aliyehitaji Taarifa

...... wala mwongozo wa Spika