| Naibu Spika Mhe. Job Ndugai akifungua muziki na Mhe. Esther Matiko katika hafla iliyoandaliwa na Zantel ndani ya viwanja vya Bunge mwishoni mwa wiki |
| Kaimu Kiongozi wa Upinzania Bungeni Mhe. Tundu Lisu akisakata rumba na Mhe. Martha Mlata katika shughuli hiyo |
| Mhe. Mlata akionesha ufundi na uzoefu waki katika medani ya uimbaji |
| Extra Bongo wakifanya vitu vyao |
| Extra Bongo |
| Mshindi wa Miss Vodacom Tanzania Higher Learning Central Zone Bi Glory Lori baada ya kuibuka kidedea jana usiku mjini Dodoma ndani ya African Dream Hotel |
| Mgeni Rasmi Mhe. Saidi Mtanda Mb, katika shughuli hiyo akikabidhi zawadi |
| Mrembo Glory akiangua chozi baada ya kutangazwa mshindi. Anayemfuta machozi ni mshindi wa tatu katika kinyang'anyiro hicho Bi. Wema Mwanga |
| Mwanzo wa shughuli |
| Vazi la ufukweni |
| Kumi bora wakipita jukwaani |
| Tano bora wakijibu maswali ya weledi |
| Wadau wakifuatilia mpambano |