.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, July 10, 2011

Naibu Spika Mhe. Job Ndugai akifungua muziki na Mhe. Esther Matiko katika
hafla iliyoandaliwa na Zantel ndani ya viwanja vya Bunge mwishoni mwa wiki

Kaimu Kiongozi wa Upinzania Bungeni Mhe. Tundu Lisu akisakata
rumba na Mhe. Martha  Mlata katika shughuli hiyo

Mhe. Mlata akionesha ufundi na uzoefu waki katika medani ya uimbaji

Extra Bongo wakifanya vitu vyao


Extra Bongo
Mshindi wa Miss Vodacom Tanzania Higher Learning Central Zone Bi Glory Lori
baada ya kuibuka kidedea jana usiku mjini Dodoma ndani ya African Dream Hotel
Mgeni Rasmi Mhe. Saidi Mtanda Mb, katika shughuli hiyo akikabidhi zawadi
Mrembo Glory akiangua chozi baada ya kutangazwa mshindi. Anayemfuta machozi ni mshindi wa tatu katika kinyang'anyiro hicho Bi. Wema Mwanga
Mwanzo wa shughuli
Vazi la ufukweni

Kumi bora wakipita jukwaani

Tano bora wakijibu maswali ya weledi
Wadau wakifuatilia mpambano