| Cheti maalumu cha ushiriki na ushindi wa Ofisi ya Bunge katika maadhimisho ya Utumishi wa Umma 2011 |
| Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akipokea Kikombe cha Ushindi kutoka kwa Kaimu Katibu wa Bunge Bw. John Joel (kushoto) na kukionyesha rasmi kwa Bunge zima leo |
| Hongera kwa watumishi waliofanikisha: Spika Makinda |