.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, June 28, 2011

Bunge lapokea kombe la ushindi Utumishi wa Umma 2011

Cheti maalumu cha ushiriki na ushindi wa Ofisi ya Bunge katika maadhimisho ya Utumishi wa Umma 2011


Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akipokea Kikombe cha Ushindi kutoka kwa Kaimu Katibu wa Bunge Bw. John Joel
 (kushoto) na kukionyesha rasmi kwa Bunge zima leo




Hongera kwa watumishi waliofanikisha: Spika Makinda