.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, May 18, 2011

Maoni ya TADEA






Rais wa Chama cha Siasa cha TADEA Bw. Lifa Chipata akimkabidhi Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda rasimu ya maoni ya chama hicho yenye lengo la kuuboresha muswada wa sheria ya kuunda Tume itakayoratibu ukusanywaji wa maoni ya kutengeneza Katiba mpya Ofisini kwa Spika leo.