.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, April 1, 2016

China kundeleza misaada

Balozi wa China nchini Mhe. LU Youngqing akisaini kitabu cha wageni alipomtembelea Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba. Balozi Youngqing aliipongeza Tanzania Zanzibar kwa jinsi ilivyoendesha uchaguzi wa kihistoria wa marudiao kwa amani na utulivu