.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, February 11, 2015

Ni ibada ya Misa Takatifu ya kumsimika Padre Honest Munishi kuwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Edward Baltimore katika Jimbo la Baltimore Md Marekani Feb 8, 2015

Padre Honest Munishi kwenye Ibada akiwekwa wakfu na Baba Askofu Dennis Madden


Padre Munishi akiweka saini mbele ya Baba Askofu Dennis Madden wa Jimbo la Baltimore Md


Balozi wa Tanzani nchini Marekani Liberata Mulamula akiwa kwenye ibada ya Misa

Watanzania kwenye ibada



Kikundi maalum kwenye Ibada

Meya wa Baltimore

Padre Munishi akitoa neno la shukrani

Picha ya pamoja
Majira kutoka kenya wakiwa kwenye Ibada