.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, February 24, 2015

Dar yazidi kuwa tamu: Chuo Kikuu Cha Agha Khan chaja Tanzania



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Jakaya Mrisho Kikwete (Kulia) akisalimiana na Mkuu wa Madhehebu ya Somaia duniani Prince Agha Khan. Kiongozi huyo alifika nchini Tanzania na kukabidhiwa hati ya Chuo Kikuu na Rais Kikwete. Chuo hicho kitajengwa Dar es Salaam