.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, February 7, 2014

Rais Kikwete akutana na Baraza la Vyama vya Siasa nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kiwete (katikati) akiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinzuri Zanzibar Mhe. Maalin Seif {ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi - CUF (kushoto) } na Msajili wa Vyama vya siasa nchini Mhe. Jaji Francis Mutungi (kulia) wakati Rais alipokutana na wawakilishi wa vyama vya siasa hapa nchini mara tu kabla ya kutangazwa kuanza kwa Bunge la Katiba