.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, November 8, 2013

Rais ahutubia Bunge na kusema Tanzania haitajitoa Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete ili alihutubie Bunge mjini Dodoma jana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho kikwete akilihutubia taifa kupita Bunge la Tanzania

Viongozi wa Kitaifa wakifuatilia hotuba ya Rais




Picha ya pamoja baada ya Rais kulihutubia Bunge na kuweka bayana sababu zinazoifanya Jumuiya ya Afrika Mashariki kuyumba na nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kutaka kuitenga Tanzania na Bunrundi. Alizitaja sababu hizo kuwa ni msimamo wa Tanzania kwenye maswala ya Ardhi, Ajira na Uhamiaji.