Saturday, November 23, 2013
Monday, November 18, 2013
Kwaheri Dkt Sengondo Mvungi
![]() |
| Watoto wa Dkt Mvungi (Bluu) |
![]() |
| Jeneza lenye mwili wa gwiji la shria nchini |
![]() |
| Makamu wa Rais wa Nchi Dkt Mohamed Gharib Bilal |
![]() |
| Mwenyekiti Tume ya Katiba Jaji J.S. Waeioba |
![]() |
| Makasisi kwenye ibada ya kumuaga Dkt Mvungi |
![]() |
| Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda |
![]() |
| Kwaheri Baba |
![]() |
| Serikali |
Friday, November 15, 2013
Katibu wa Bunge aongoza maelfu kumuaga Anselm Lyatonga Mrema
| Kwa heri kaka.... |
| Wazee wa ukoo |
| Profesa Alex Lyatonga Mrema (UDSM) kaka wa marehemu |
| Kamishna wa Bunge Mhe. Maua Daftari |
| Nyumba ya milele |
| Baba Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Uomboni, Padre Alipenda akiweka udongo kaburini |
| Watumishi wa Bunge washindwa kujizuia. Mama Mongi akisaidiwa baada ya kuishiwa nguvu |
| Mbunge wa Same Mashariki Mhe. Anne Kilango Malecela akimfariji mjane na familia |
| Mke wa marehemu akiweka udongo |
|
Mke wa marehemu akiuga mwili wa mume wake
aliyefariki ghafla tarehe 10/11/2013 mjini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mfupi..
|
|
Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashilillah
akiwaongoza watumishi wa Bunge kuuga mwili wa marehemu.
|
|
Spika Mstaafu na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Mhe. Samuel Sitta akiweka udongo kaburini kama Ishara ya kumuaga
marehemu Anselm Mrema.
|
|
Familia ya marehemu Anselm Mrema mara baada ya
mazishi.
|
| Watumishi wa Bunge kwa huzuni kubwa |
| Profesa Mrema akiipokea familia ya marehemu |
| Mtoto wa marehemu akimuaga baba yake |
| Padre Alipenda akiongoza ibada ya mazishi |
| Mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini akiweka udongo |
| Katibu wa Bunge akiweka udongo |
| Katibu wa Bunge akiweka shada la maua kwa niaba yaOfisi ya Bunge |
| Familia ya marehemu ikiweka shada la maua Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe! (Prosper Minja-Bunge) |
Tuesday, November 12, 2013
Matukio
Saturday, November 9, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)








