.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, May 7, 2013

HAPA NA PALE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Mohammed Gharib Bilal akimjulia hali majaruhi wa mlipuko wa bomu katika kanisa Katoliki Arusha. Kulia kwake ni Askofu Mkuu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa aliyelazimika kutatisha ziara yake mkoani Singida.


Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama baada ya kupishwa kwa bajeti ya wizara hiyo




Vijana wa mafunzo kwa vitendo katika Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa wakijiandaa kuanza kazi





 Jengo la Ofisi ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa maarufu kwa jina la Mbuba