.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, May 10, 2013

BOMU ARUSHA: BUNGTE LAPITISHA AZIMIO, LAIBANA SERIKALI, LAWATAKA WATANZANIA KUTUBU

Kanisa katoliki Parokia ya Mtakatifu Yosef Mfanyakazi Olasite Arusha ulikotokea mlipuko wa bomu tarehe 5/5/2013 wakati wa uzinduzi wa kanisa hilo

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe.Anne Makinda akiwasili Arusha na kulakiwa na Mkuu wa Mkoa Bw. Magesa Mulongo pamoja na uongozi wa mkoa kufuatia bomu lilioua watu watatu












Ndipo Spika Makinda akakutana na mwenyeji wake Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha Mhashamu Josephat Lebulu. Spika akibusu Pete ya Kiaskofu

Spika Makinda aliongo ujumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge








Baba Askofu Lebulu akielezea kilichojiri siku ya tukio


Spika Makinda akikabidhi mchango wa wabunge wote kwa ujumla wao





Kuelekea eneo la tukio

Padri Pedy Kasterino, Paroko wa Parokia ya Tokeo la Bwana, Bulka Olasite akimkaribisha Spika na ujumbe wake eneo la mlipuko

Eneo la tukio

Yaliyojiri

Tutubu.....Spika aliambia taifa

Kutembelea majeruhi hospitalini































Kwaherini.....