.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, April 9, 2013

Bunge la bajeti laanza Dodoma

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda, Naibu Spika Mhe. Job Ndugai wakiingia ukumbini tayari kwa mkutano wa bajeti na wa 11 wa Bunge leo tarehe 9, Aprili 2013
 Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali Mhe. Zitto Kabwe na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Lazaro Nyalandu wakiwasili Bungeni leo
Spika Makinda akiteta jambo na mbunge mara baada ya kipindi cha maswali na majibu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akibadilishana mawazo na makamu mwenyekiti wa CCm-Bara Mhe. Mwegulu Nchemba