.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, April 30, 2013

Camera Never Lies







Mashindano ya kwanza ya ulimbwende nchini mwaka 1967 (na kusitishwa hadi 1994)  Kilimanjaro Hotel













Mwenye nambari tano Bi Theresia Shayo aliibuka kidedea













 Huko Zanzibar nako ambako mashindano yalifanyika kwa mara ya kwanza na ya mwisho mwaka 1968 Bi Hediye Khamisi Mussa (katikati) aliibuka kidedea






 Mashindando yaliporejea tena mwaka 1994 Bi Aina Maeda (katikati) alikuwa mshindi







Bi Aina Maeda akiwa na waandaaji wa mashindano ya ulimbwende

(kwa hisani ya Michuzi Blog)