.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, March 7, 2013

Kibanda akimbizwa Afrika Kusini

Mhariri Mkuu wa Gazeti la Mtanzania Bw. Absolon Kibanda akiingizwa kwenye
ndege maalum tayari kukimbizwa Afrika Kusini baada ya kuvamiwa na
 kujeruhiwa vibaya na watu wasiojulikana


Wadau wa habari waliofika Muhimbili alikokuwa amelazwa Mhariri Mkuu wa
 Gazeti la Mtanzania