.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, November 14, 2012

Nambari Wani

Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Makamu Wenyeviti Wawili kutoka Bara na Visiwani, Mhe. Anne Semamba Makinda, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungao wa Tanzania, akimpongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, baada ya kumtangaza kushinda nafasi hiyo ya Uenyekiti, katika uchaguzi uliofanyika jana katika ukumbi wa Kizota, Dodoma, ikiwa ni kuhitimisha shughuli za Mkutano Mkuu wa Nane wa CCM. Kulia ni Makamu Mwenyekiti Mpya wa CCM (Zanzibar) Dk. Ali Mohamed Shein na mwingine ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal





Nambari wani!



Democracy in Progress