.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, October 25, 2012

Mkutano wa 127 wa IPU, Quebec Canada 21-26 Oct 2012


Spika Makinda akipokelewa na Mkuu wa Mahusiano Bw.Svend Robinson kwenye mkutano wa 127 wa IPU, Quebec, Canada 23 Oct,2012


Spika Makinda (kati) akimtambulisha Mhe. Dr. Perpetua Nderakindo Kessy, Mbenge wa Afrika Mashariki (kushoto)  kwa Balozi wa Tanzania Nchini Kanada Mhe. Alex Masinda

Mkutano


Mwakilishi wa Katibu wa Bunge katika mkutano huo Bw. Kileo Nyambele. Kushoto ni Afisa Dawati la IPU ndg. James Warburg





Spika Makinda na Spika wa Morocco Mhe. Karim Ghellab wakishirikishana jambo