.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, September 3, 2012

Afrika na changamoto ya ukuaji wa miji na makazi


Spika wa Bunge la Tanzania Mhe.Anne Makinda, Naibu waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Goodluck Ole Medeye pamoja na wajumbe kutoka Tanzania wakifuatilia ufunguzi rasmi wa Mkutano wa 6 wa kuboresha miji na makazi mjini Napoli Italia leo. Katika mkutano huo, Umoja wa Mataifa umeweka bayana kuwa hakuna njia ya mkato ya kukabilina na changamoto za kukuwa kwa miji zaidi ya kuwa na sera madhubuti za kuboresha na kupanua miji. Mwanzoni mwa karne ya 20 ni 2% tu ya watu ilikuwa ikiishi mijini. Leo ni 50%.



Spika Makinda na Mh. James Lembeli kwenye kikao cha kuwaelimisha watunga sharia, sera na mipango miji.



Mhe. Ole Medeye kwenye kikao cha matumizi ya ardhi na ongezeko la watu katika miji ya Afrika



Spika Makinda akishauriana jambo na Mhe. Ole Medeye (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu  TAMISEMI



Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Masaburi akimsikiliza kwa makini Spika wa Bunge mara kabla ya kuanza kwa mkutano maalum wa mameya kuhusu ujenzi wa miji na makazi,


Wadau kwenye Mkutano huo.


Mwandaaji wa mkutano ( Volunteer)


Wadau mbalimbali wa mkutano