.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, August 24, 2012

Michezo huyapa mahusiano ya kidiplomasia afya njema!

Rais wa Jamhuri ya Rwanda Paul Kagame akisalimiana na Vingozi na Timu nzima ya Washindi wa Kombe la Kagame, Yanga, walipomtembnelea Ofisini kwake kufuatia mwaliko alioutoa kwa timu hiyo. Michezo zaidi ya kujenga urafiki inaimarisha diplomasia ya nchi moja na nyingine,