.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, August 15, 2012

BUPAT wafundwa, Wanafunzi bora wazawadiwa

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwafunda wanachama  wa Chama wa chama cha Waandishi wa habari za BUnge (BUPAT)jinsi ya kuandika habari za Bunge kwa kutofautisha ni zipi habari za Bunge na ni zipi habari za ofisi ya Bunge na pia ni zipi habari za mbunge mmoja mmoja  mjini Dodoma hivi karibuni. Kulia kwake ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt Ayub Ryoba na mtoa mada katika semina hiyo.


Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mkuu wa Freemedia Bw. Absalom Kibanda
akitoa mada kwenye semina hiyo


Wadau wakifuatilia mijadala



Dkt Ryoba


Wadau



Restuta James

Florian Kaijage

Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa wa Ofisi ya Bunge
 Bw. Jossey Mwakasyuka akihitimisha mjadala


Waliofauluri kidato cha sita 2012 walizawadiwa na Waziri Mkuu baada ya kukuribishwa rasmi Bungeni

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi akiwatambulisha Bungeni wanafunzi 20 waliofaulu vizuri mitihani ya Kidato cha sita 2011


Wahitimu hao wakiwa kwenye picha ya pamoja. Hapa wapo na Mbunge wa Mafia Mhe, A. Shah (mwenye tai nyekundu)  Mh. Agnes Hokororo, (kulia kwa Mhe. Shah) Mhe. neema Mgaya(wa kwanza kushoto)  na Mhe. Kabati (kulia)