.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, April 27, 2012

NEC na maamuzi magumu!

Juu & Chini: Mwenyekiti wa CCM Taifa aliye pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Jijini Dar es Salaama ambapo maamuzi magumu ya kuliusuka upya baraza la mawaziri na kuwatosa waliotajwa na Bunge kuwa ni vikwazo kwa maendeleo ya Taifa hili. Kikao hicho kilifanyika jana.




Dkt Lina Mhando, Mhadhiri mwandamizi kutoka Marekani awapasha waafrika kuwa migogoro ya mara kwa mara, uroho wa madaraka, rushwa, uzembe na unyanyasaji wa kijinsia ndivyo vunavyolitafuna bara hili