.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, December 30, 2011

TANZIA

Kwa mara nyingine tukielekea mwishioni mwa mwaka 2011 tasnia ya habari imewapoteza wapiganaji wawili: Bi Halima Mchuka mkongwe wa TBC na  Bw. John Ngahyoma gwiji la ITV na BBC. Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi. Amina!