Spika Makinda akifuatilia kwa makini hotuba ya ufunguzi wa Mkutano iliyotolewa na Rais wa Chuo Kikuu cha Sookmyung, Dkt. Young Sil Han
|
Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Korea katika Vyuo Vikuu mbalimbali walifika kumsiliza spika wao
|
Baadaye Spika Makinda alipata wasaa wa kukutana na vyombo vya habari na kufafanua umuhimu wa kuwa na vyuo vikuu vya wanawake. Hapa anaongena Avivang Tv ya Korea
|
Rais wa Chuo kikuu cha Sookmyung Dkt. Young Sil Han akitoa maelezo mafupi kwa wageni wake
|
Bolozi wa Amani Uingereza Bi Elizabeth B. de. Jong akimkabidhi Spika Makinda zawadi ya kitabu “ Global Citizen”
|
| Spika akiwa na mazungumzo na watanzania waishio Korea akiwaelezea hali ya nyumbani na kuwaasa wasome kwa bidii na kurejea nyumbani. |
Spika Makinda akutana na Salma Dinya Millenium Seoul Hilton Hotel
| Spika wa Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwa na mwenyeji wake Dkt Han, Rais wa Chuo Kikuu cha wanawake cha Sookmyung, Korea |
| Wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali Asia na Afrika wakimsikiliza Bi. Salma Dinya |
| Picha ya pamoja katika Hoteli ya Lotte, Seoul |
| Picha ya pamoja ya waratibu wa mkutano wakati wa mijadala |
| Picha ya pamoja ya Spika Makinda, wanafunzi wa tanzania Korea na ujumbe wa Spika |
| Picha ya pamoja ya Viongozi wa ngazi ya juu kutoka Afrika na Asia waliohudhuria mkutano huo |
| Picha ya pamoja ya viongozi vijana na wageni kutoka sehemu mablimbali |
| Salma na wenzake baada ya mkutano wa siku ya kwanza |
| Salma akitoa mada akiwa na vazi la kimasai. kila mtu alimfurahia |
| Salma akisubiri kuanza kula chakula cha jioni walichandaliwa katika hoteli ya Lotte, Seoul |