.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, August 18, 2011

Karibuni Bungeni


Naibu Spika Mhe. Job Ndugai akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Msalato leo baada ya wanafunzi hao kulitembelea Bunge

Waziri Mkuu Mhe. Pinda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenista Mhagama leo


Wabunge wakifurahia jambo

Wajumbe wa CPA Tawi la Tanzania wakiwa kwenye kikao leo

Mwenyekiti wa CPA Tanzania Mhe. Azzan Musa Zungu akiendesha Kikao. Kushoto kwake ni Makamu wa Rais wa CPA Mhe. Job Ngugai na Mhe. Abdulkadir Shah (Mjumbe). Kulia ni Ofisa wa Dawati la CPA Bw. Saidi Yakubu na Mhe. Vita Kawawa (Mjumbe)

Wajumbe wa CPA tawi la Tanzania