| Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania akiteta Jambo na mgeni rasmi Naibu Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika usiku wa Zantel ndani ya viwanja vya Bunge |
| MC Katarina Kaihula akimkaribisha Mkurugenzi wa Zantel |
| Wadau wakipongezana baada ya kazi ngumu za mchana kutwa |
| Vipi shughuli inakwendaje....? |
| Ni muda wa sebene |
| Shughuli inakwenda na mlo |
| They are discussing issues |
| Mhe. Lukuvi na Mhe. Lisu wakifurahia jambo |
| Karibu kwenye High life |
| Extra Bongo.....Kazi ilikuwa ni moja tu |
| Bi Chris Nkya, Bi Kitolina Kippa na Bi Katarina wakitathmini mwenendo wa issue nzima |