.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, June 17, 2011

Banda la Ofisi ya Bunge kivutio Maadhimisho ya Utumishi wa Umma


Taswira ya banda la Ofisi ya Bunge katika Maadhimisho ya
Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya
Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam ambapo Utumishi wa Umma
unaadhisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.














Picha za maspika wa Bunge kabla na baada ya  Tanzania
                 kupata Uhuru
 


Picha za Mawaziri Wakuu tangu Tanzania ipate Uhuru.

Makundi ya wananchi yakipewa ufafanuzi wa Siwa
(juu), Katiba  na machapisho mbalimbali (chini)





















Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano
 wa Kimataifa Bw. Jossey Mwakasyuka (kushoto) akiwaelekeza wananchi kusaini
 kitabu cha wageni wanaotembelea banda la Bunge.