.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, June 14, 2011

Balozi Kalage aalikwa bethidei ya Malkia wa Uingereza

Balozi Peter Kalege akiwa na Familia yake nje ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa
Uingereza kufuatia mwaliko wa kuhudhuria sherehe za
 siku ya kuzaliwa Malkia Elizabeth II

Malkia Elizabeth II akiwa katika gari ya kuvutwa na farasi akikagua
gwaride la siku ya kuzaliwa kwake 6/10/2011

Gwaride la nguvu
 
Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron kwenye Picha ya pamoja
na familia ya Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Peter Kallage