.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Saturday, November 10, 2012

Wastaafu Bunge wapongezwa kwa utumishi uliotukuka

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akizungumza na wafanyakazi paomja na wastaafu wakati wa kuwaaga wastaafu hao katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge jana. Jumla ya wastaafu 12 waliagwa baada ya kulitumikia Bunge kwa muda mrefu.


Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akizungumza na wafanyakazi paomja na wastaafu wakati wa kuwaaga wastaafu hao katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge jana. Jumla ya wastaafu 12 waliagwa baada ya kulitumikia Bunge kwa muda mrefu.


Wastaafu wakisimama kwa heshima kubwa kumpokea Mhe. Spika


Spika Makinda akimkabidhi mstaafu Makame cheti maalumu cha kutambua utumishi wake.


Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akiwapongeza wastaafu hao. Kushoto kwa Katibu wa Bunge ni Katibu wa TUGHE Mkoa wa Dodoma Bw. John Mchenya.



Uongozi wa Bunge ukiwa na wastaafu hao.


Inapendeza uongozi wa juu mahali pa kazi unapokwa wa maelewano mazuri kwani hata watumishi wa chini hujifunza mengi: Spika Mkinda (kushoto) akifurahia jambo na Katibu wa Bunge Dkt Kashilillah (kulia) na Ag DAP Mama Kitolina Kippa (katikati


Wakati wa kulisakata rhumba!