.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, June 27, 2012

Mabalozi wamuaga Dkt Asha-Rose Migiro


Mabalozi wa Afrika katika Umoja wa Mataifa wakimuaga Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayemaliza muda wake, Dkt Asha-Rose Migiro (mwenye kilemba katikati) , kwenye hafla iliyofanyika Washington Marekani, jana.