.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, April 1, 2016

Kizimbani kwa tuhuma za rushwa

Kutoka kushoto Ni Waheshimiwa Kange Lugola, Murad na Mwambalaswa wakiwa mahakamani baada ya TAKUKURU kuwatuhumu kuomba rushwa ya sh. 30m. Hapa ni mahakama ya Kisutu (31/03/2016)

Salaamz

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba Bw. Amon Mpanju akijadiliana jambo na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan

China kundeleza misaada

Balozi wa China nchini Mhe. LU Youngqing akisaini kitabu cha wageni alipomtembelea Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba. Balozi Youngqing aliipongeza Tanzania Zanzibar kwa jinsi ilivyoendesha uchaguzi wa kihistoria wa marudiao kwa amani na utulivu

Ya mwendokasi huenda yakaanza kazi hivi karibuni