.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, July 26, 2012

Aliyewahi kuwa mchezaji wa Simba, Issa Kihange, afariki dunia


Marehemu Issa Kihange, baba Mzazi wa Bi Zainab Issa Kihange. Alikuwa ni mchezaji mpira wa miguu aliyewahi kuichezea Timu ya Simba. Alifariki ghafula tarehe 24/7/2012 na kuzikwa nyumbani kwake Dodoma tarehe 26/7/2012
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda (kati) akimfariji mke wa arehemu Issa na mama mzazi wa Zainab kulia. Kushoto ni Bi Zainab Issa Kihange ambaye ni mfanyakazi wa Ofisi ya Bunge.


Viongozi wa wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge kwenye Msiba huo mapema leo.


Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge wakiomboleza.


Ndugu, jamaa na majirani waliofika kwenye msiba.


Wafanyakazi wenzake na Bi Zainab


Mwakilishi wa Ofisi ya Bunge Ndugu Jossey Mwakasyuka akitoa salamu za rambirambi


Ndipo ikaanza safari ya mwisho ya Issa Kihange hapa duniani


  Ni vilio, ni simazi, ni majonzi, ni huzuni kubwa


Spika Makinda akiwafariji na kuwaaga wafiwa

HAPPY BIRTHDAY HON. SPEAKER MAKINDA

keki


wapambe


karibu mama


asanteni wanangu


happy birthday



kwa niaba ya wafanyakazi


tumlisha mama keki


hongera


Neno la shukrani

Monday, July 23, 2012

Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya atembelea CCBRT

  Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni mlezi wa Hospitali ya CCBRT Mhe. Anne Makinda akisalimiana na  Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya Mhe. Jose Manuel Barroso alipowasili Hospitalini hapo leo kujionea shughuli za Hospitali hiyo. Serikali ya Tanzania na Umoja wa Ulaya umekuwa ukiichangia fedha nyingi hospitali hiyo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT Dkt Wilbrod Slaa  akifafanua jambo kwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dr Erwin Telemans (kati) pamoja na Spika Makinda.

Rais Barosso akisaini kitabu cha wageni.

Mtaalamu wa viungo wa Hospitali ya CCBRT akifafanua jambo kwa ugeni huo.

Dr. Erwin Telemans Mkurugennzi Mkuu wa CCBRT (shati jeupe) akiwatambulisha wagonjwa.

  Baadhi ya wagongwa wanaopata huduma CCBRT.





   Wagonjwa waliotibiwa na kupona fistula.

Mpango wa Upanuzi wa Hospitali ya CCBRT

Watoto Dema Emmanuel (6) na Goodson George (16) wakimkabidhi mgeni rasmi zawadi ya ‘gari’

Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya akiondoka katika viwanja vya CCBRT

Karibu tena

Wafanya kazi wa CCBRT

Bunge latoa salam za Rambi rambi Zanizbar

Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akimkaribisha Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda alipofika Zanzibar kutoa salam za rambirambi kufuatia ajali ya meli iliyotokea hivi karibuni


Rais Shein akimfahamisha Mhe Spika hatua zilizokwishachukuliwa na serikali katika kukabiliana na tatizo hilo

Rais Shein akisalimiana na ujumbe ulioongona na Spika

Wabunge walioambatana na Spika wakisaini kitabu cha maombolezo

Spika Makinda akimpa pole Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Idd Seif

Spika Makinda akimfariji Spika wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe. P. Kificho

Picha ya pamoja

Wednesday, July 18, 2012

YALIYOJIRI ZANZIBAR LEO BAADA YA MELI YA ABIRIA WAPATAO 250 KUZAMA MAJIRA YA MCHANA



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


MAELFU YA WATU YACHANGANYIKIWA


MAKAMU WA RAIS IDD SEIF ENEO LA TUKIO


SPIKA WA BARAZA LA WAWAKILISHI


MAJERUHI WAKIOKOLEWA


Add caption




MAJERUHI
RAIS KIKWETE AKUTANA NA AGHA KHAN LEO